BABA MZAZI (43) AMBAKA MWANAE WA MIAKA 5 SONGWE
Jeshi la Polisi Mkoani Songwe linamshilia ndugu Boniface Asulwisye (43)Mkazi wa kijiji cha Senjele Wilayani Mbozi kwa tuhuma za kumbaka mwanae ambaye ni mwanafunzi wa awali mwenye umri wa miaka 5 wanafunzi wa shule ya msingi senjele.
Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe ACP Theopista Mallya ametibitisha kutokea kwa tukio hilo .
![](https://i.ytimg.com/vi/cZR_2mSQvgY/maxresdefault.jpg)