Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika na Wakili wa Mwenyekiti wa chama hicho, Peter Kibatala wamezungumza na Waandishi wa Habari kuhusu mwenendo wa kesi ya ugaidi na Uhujumu Uchumi inayomkabili Freeman Mbowe.
Mnyika na Kibatala wamezungumzia jinsi kesi hiyo ilivyoahirishwa ikiwemo sababu ya kufeli kwa mtandao wakati kesi hiyo ilipotaka kuendeshwa kwa njia ya mtandao mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba.
Ещё видео!