Tafiti za shirika la afya duniani zinasema takriban watu milioni 50 kote duniani wanaishi na ugonjwa huo unaotokana na athari katika mfumo wa umeme wa ubongo.
Je unafahamu kuwa kuna aina mbalimbali za kifafa?
Na Je ugonjwa wa kifafa unatibika?
Daktari bingwa wa upasuaji wa ubongo Juma Magogo Mzimbiri katika mahojiano na Arnold Kayanda, anatoa majibu ya maswali hayo.
Ещё видео!