Subscribe [ Ссылка ]
Mtendaji Mkuu wa Bodi ya ligi TFF Boniphance Wambura ametoa tamko kuhusiana na uendeshaji wa Mechi za ligi ya Vodacom Tanzania Bara ambapo kuna muda wa kuangalia mechi hizo na kurushwa Mubashara na Vituo vya Runinga.
Wambura amesema kuwa kutokana na Ratiba ya mechi hizo kuna baadhi ya mechi ambazo zitaonyeshwa mubashara kati ya mechi 152 ,102 zitaonyeshwa moja kwa moja kutokana na kuwa na mechi nyingi zaidi.hiyo kabla ya kupigwa chini.
FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ], Subscribe [ Ссылка ] Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… [ Ссылка ] [ Ссылка ] [ Ссылка ] WEBSITE: [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ]..
Ещё видео!