Uzinduzi wa awamu ya majaribio ya mfumo wa mabasi yanayosafiri kwa kasi kwenye barabara kuu ya Thika umeahirishwa hadi mwezi Februari mwakani. Hatua hiyo intarajiwa kutao fursa ya ununuzi wa ardhi ya kupanua barabara na vyuma vya kutengenza barabara ya mabasi hayo. Kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya uchukuzi jijini Nairobi Mhandisi Francis Gitau alisema zabuni ya ununuzi wa mabasi 60 kati ya 300 yanayohitajika itatolewa mwezi Julai kupitia ushirikiano kati ya sekta za umma na binafsi.
Connect with KBC Business;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#KBCchannel1 #KBCbusiness #KenyaNews
Ещё видео!