Mahakama kuu huko Embu imemhukumu Michael Muthini Mutunga kifungo cha miaka 30 gerezani kwa mauaji ya kasisi Michael Maingi wa kanisa katoliki mwaka 2019. Muthini alikiri kumuua kasisi Maingi, aliyekuwa akihudumu katika parokia ya Thatha kaunti ya Machakos tarehe nane mwezi oktoba mwaka 2019. Mwili wa kasisi huyo ulipatikana ukiwa umezikwa kando ya mto Mashamba kaunti ndogo ya Mbeere huko Embu.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#KBCchannel1 #ThisIsKBC #News #FatherMichaelMaingi
![](https://i.ytimg.com/vi/d8Tw2hI1fCY/maxresdefault.jpg)