Muungano wa Kenya Kwanza umewapendekeza wanachama watano kuhudumu katika bunge la Afrika Mashariki kabla ya uteuzi huo kuifhinishwa na mabunge yote mawili kesho. Miongoni mwa waliopendekezwa ni aliyekuwa seneta wa kaunti ya Mombasa, Hassan Omar, aliyekuwa mwakilishi wa kike wa kaunti ya Nandi katika bunge la taifa Zipporah Kering, aliyekuwa mbunge maalum David Ole Sankok, aliyekuwa katibu mkuu wa chama cha URP Fred Muteti, na aliyekuwa seneta maalum Falhada Dekow Iman.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#KBCchannel1 #EALA #News #KenyaKwanza #AzimiolaUmoja
![](https://i.ytimg.com/vi/dEzod6y0yr8/mqdefault.jpg)