intermech engineering ni kampuni ya kitanzania , inayomilikiwa na watanzania inayotengeneza mashine mbalimbali za kuongeza thamani kwenye mazao ya kilimo, kama vile mashine za kusaga, kukoboa, kupukuchua mahindi, za kukamua alizeti, kusaga viungo, kuchakaa karanga na mazao yake . n.k , ipo Morogoro Tanzania, kwa mawasiliano piga simu 0620511969
![](https://i.ytimg.com/vi/dQBZ7CWX5Nw/maxresdefault.jpg)