Mbunge wa Geita Vijijini kwa tiketi ya CCM, Joseph Msukuma leo alimpa taarifa bungeni mbunge mwenzake Luhaga Mpina, kuwa kuhusiana na suala la kata kata ya umeme na yeye angejibiwa kama alivyojibiwa jana na Serikali
Hata hivyo Naibu Spika, Mussa Azzan Zungu aliikataa taarifa hiyo na kusema kuwa sio taarifa, huku mbunge Mpina akiikataa taarifa hiyo akisema kuwa udhaifu wa Waziri abaki nao Waziri na Rais asiingizwe kwenye suala hilo.
Ещё видео!