Suala la kumuazima Salamba, Suala la Jezi zao kukosa nembo ya mdhamini, hatma ya kocha mpya Yanga, hali ya Yanga Kiuchumi, mwenendo wa timu kwenye mashindano mbalimbali, ni baadhi ya mambo ambayo yamepatiwa majibu kwenye kipindi hiki.
Mohamed Hussein 'Mmachinga ni gwiji wa klabu hiyo ambaye leo pia amepata nafasi kwenye kipindi hiki.
![](https://i.ytimg.com/vi/e89ym7HwfxQ/maxresdefault.jpg)