#DWSwahili #dwkiswahili #HabarizaAfrika
#DWSwahili #dwkiswahili #HabarizaAfrika
DW Kiswahili Habari za Afrika | Januari 31, 2024 | Mchana | Swahili Habari leo| Burkina Faso imesema mataifa yaliyojiondoa kwenye Jumuiya ya Maendeleo ya Mataifa ya Magharibi ECOWAS, yalizingatia kwa kina uamuzi huo, kabla ya kujiengua, huku yakiwa na matumaini ya kuwa na uhuru kamili.#dwkiswahili #HabarizaAfrika #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo Ukitaka kupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.
![](https://i.ytimg.com/vi/e8xF9UHklKQ/maxresdefault.jpg)