Muhathara Kati ya waislamu na wakristo IPI dini ambayo inafaa kufuatwa. Ni mijadala uliofanywa naye mwalimu wetu Francis ndacha na Yusuf wambugu.je Kati ya Yesu na Mohammad mtume yupi mkuu na wa kweli. Ukiskiza utagundua ujanja ambao waislamu wanatumia kudanganya watu wa Mungu bila kujua wanawapeleka motoni. Mungu akubariki sana unapozidi kupata elimu ya kimbingu na ufanye uamuzi uliobora leo na wala si kesho
#francisndacha
Ещё видео!