Waitara Afunguka Nyongeza Ya Mshahara,Kuhama Kwa Wafanyakazi
Naibu waziri wa TAMISEMI Mheshimiwa Mwita Waitara ameeleza kusudi la selikari kuboresha maslahi ya wafanya kazi wa umma kwa kuwapandisha madaraja watumishi na kulipa malimbikizo ya madeni yao.
Mheshimiwa waitara ameyasema hayo alipo kuwa anazungumza na wafanya kazi wa jiji la Arusha alipokuwa katika ziara yake ya kikazi mkoani Arusha.
#waitara #naibuwaziri
[ Ссылка ]... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website:
www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ]
Ещё видео!