Mm jmn matatizo yananiandama mm jmn?, sasa nafanyaje mm?, mimba ya nani sasa?nilijiuliza, nikakumbuka nilivojaliwa na mamangu akanilinda nisiharibikiwe kwa kuniweka kijiti mm homa homa kidogo nikashauriwa ni sababu ya kijiti nikajipeleka hospital nikakitolea mbali ona sasa yamenikuta leo, si ningetumia njia ingine mm narudia Yale Yale uwiiiiii😇 ona sasa, nafanyaje, ya nani hii mimi jmn?
![](https://i.ytimg.com/vi/eXQQeQ4GR04/maxresdefault.jpg)