SHIRIKISHO la vyama vya wafanyakazi nchini TUCTA limetangaza kutoridhishwa na nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma iliyofanyika mwezi julai mwaka huu ambapo tayari wameanza majadiliano na serikali ili kutatua changamoto hiyo.
Hayo yamebainishwa leo jijini dodoma na Rais wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini TUCTA Tumaini nyamhokya ikiwa ni siku chache mara baada ya kuibuka mjadala kuhusu nyongeza isiyoridhisha ya mishahara.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
HabariLeo: [ Ссылка ]
DailyNews: [ Ссылка ]
INSTAGRAM;
HabariLeo: [ Ссылка ]...
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/erNMxIt35V4/maxresdefault.jpg)