“Wananchi waliendelea na juhudi za kufungua mlango kwa nje, hali hiyo ilisaidia kumpa ujasiri mhudumu wa ndege na abiria ndani ya ndege kufungua mlango huo baada ya kuona nje ya ndege kuwa kuna msaada unaoweza kuwasaidia.”
-Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Makame Mbarawa
Aidha amejibu swali kuhusu Ripoti kutomtambua kijana Jackson Majaliwa kama Shujaa wa uokozi
....................................................................................................
Kuwa wa kwanza kupata Habari mpya kwa Kusubscribe Channel Yetu ya Leo TV Online.
#SUBSCRIBE #LeoTVhabari #Kenya #Uganda #Tanzania #habarimpya #habarimpyaleo #marekani #usa #bbcswahili
Ещё видео!