TEMBO WALETA HOFU SAFARI SGR MORO- DOM
Wakati safari ya kwanza ya treni ya mwendokasi SGR kati ya stesheni ya Dar hadi Dodoma ikitarajiwa kuanza rasmi Julai 25 mwaka huu, hofu ya tembo katika baadhi ya maeneo ambayo hayajawekwa wigo wa waya imetanda.
Waziri wa Uchukuzi Prof MAKAME MBARAWA amesema hayo baada ya kukagua njia ya reli ya kisasa SGR kati ya Morogoro na Dodoma na kujionea baadhi ya maeneo kutokamilika kwa uwekaji wa seng'enge kuzuia wanyama aina ya tembo.
Kwa habari za uhakika fuatilia KIBOKO Tv kisha Subscribe, Like, Share na Comment uweze kupata kilicho bora
Ещё видео!