Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Namtumbo na kusema hajaridhishwa na ujenzi.
Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo Jumanne Oktoba 18, 2022 wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Migelegele mara baada ya kukagua ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma.
"Nimekagua ujenzi wa hospitali ya wilaya lakini sijaridhishwa na hali ya ujenzi. nimeagiza milango yenye hitilafu yote ing'olewe na iwekwe yenye hadhi ya hospitali ya wilaya
Ещё видео!