Wapo vijana wengi sana ambao wanatamani kuoa au kuolewa lakini wanashangaa mbona muda mwingi unapita na wanashindwa kabisa kufanya hayo maamuzi. Hawajui wala hawafahamu nini shida na kipi kinacho wazuia. Nina jibu kwako leo. Hizi hapa sababu 5 kwanini unachelewa kuoa au kuolewa. Nifuatilie.#Sababu#Kuoa#Kuolewa#DrChrisMauki
![](https://i.ytimg.com/vi/fc7LQFzgefY/maxresdefault.jpg)