Anaitwa "Mtakatifu wa Wasio na Matumaini na Waliokata tamaa." Kwasababu ya Maombezi yake yenye nguvu.
Watakatifu wawili, Mtakatifu Bridget wa Uswidi na Mtakatifu Bernard, walipata maono kutoka kwa Mungu akiwataka kumkubali Mtakatifu Yuda kama "Mtakatifu Mlinzi wa Yasiyowezekana."
Watu wengi humwomba Mtakatifu Yuda Tadei wanapokuwa katika hali ngumu, kwa sababu ya barua yake katika Agano Jipya, iliyosisitiza kwamba waamini wanapaswa kudumu katika mazingira magumu, kama vile mababu zao walivyofanya kabla yao; kwa hivyo, yeye ndiye mlinzi wa hali za kukatisha tamaa.
SALI KWA IMANI NA MUNGU ATASIKILIZA NA KUJIBU MAOMBI YAKO KUPITIA MAOMBEZI YA MTAKATIFU YUDA TADEI.
![](https://i.ytimg.com/vi/fdx2RxnErfw/maxresdefault.jpg)