DAY 2
Bwana Yesu asifiwe,leo hii tutaomba KIBALI KIWE JUU YAKO MBELE ZA MUNGU NA MBELE ZA WANADAMU,
“Na yule mtoto, Samweli, akazidi kukua akapata kibali kwa BWANA, na kwa watu pia.”
1 Sam 2:26 SUV
Leo hii utapata kibali kwenye kila unachofanya,utaona maajabu kwenye kila eneo la maisha yako kwa jina la Yesu,AMEN
Min Mocky
Ещё видео!