KIMENUKA! WANANCHI Wagoma KUHAMISHWA MAKAZI Yao, MBUNGE AINGILIA KATI...
MPANGO wa kuhamisha kaya zaidi ya 200 zenye wakazi zaidi ya 600 katika kitongoji cha Isela kata ya Mlangali Wilayani Mbozi Mkoani Songwe, umesitishwa baada ya wananchi na Hifadhi ya Taifa Ngorongro kushindwa kufikia makubaliano.
Uamuzi huo umetolewa katika mkutano wa hadhara ulioitishwa na Mbunge wa jimbo la Mbozi Japhet Hasunga kwa lengo la kusikiliza na kutafuta muafaka baada ya wakazi 660 katika kitongoji hicho kulalamikia hatua za kutaka kuondolewa katika eneo hilo ili kupisha utanuzi wa eneo la hifadhi katika eneo la Kimondo.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT AMAZON: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!