Wazazi wa wanafunzi katika maeneo yaliyokumbwa na mafuriko wameelezea wasiwasi wao kuhusu usalama wa watoto wao shule zitakapofunguliwa Jumatatu. Baadhi ya wazazi katika kaunti za Narok na Busia wanasema kuwa hawatawaruhusu watoto wao kwenda shuleni kwani maeneo mengi ya kaunti hizo yamejaa mafuriko. na kama anavyoripoti Brenda Wanga, wakazi wengi wa maeneo hayo wanaitaka serikali kuwasaidia kuhakikisha kuwa wana wao wamefungua shule Jumatatu ijayo.
Ещё видео!