BWANA YESU asifiwe mpendwa, karibu na ahsante kwa kujumuika nasi katika ibada na kipindi cha kwanza cha ibada yetu nzuri ya tarehe 14 Julai 2024, inayokujia na kukufikia mubashara kutoka kutoka Heart of Worship Ministry HQ Mbezi Beach Dar Es Salaam.
Ibada hii ya kipindi cha kwanza ni maombi ya awali ya mtu mmoja mmoja maalum kabisa kwa ajili ya kushughulikia changamoto zote ikiwemo unachotaka kitokee kwenye uchumi wako na wa familia.
Pia tuna session maalum ya maelekezo maalum ya KUIOMBEA NA KUISEMESHA BAJETI yenye kichwa cha somo; KILA UCHAWI WA WANYAMA UNAOFANYWA JUU YA BAJETI YANGU ISITIMIE UCHOMWE KWA MOTO UTEKETEZAO.
Kipindi na ibada hii maalum inaongozwa na mtumishi wa Mungu Amoke Nkonoki.
Ещё видео!