Serikali ya kaunti ya Baringo kwa ushirikiano na kampuni ya FIND DX Kenya imezindua kampeni ya siku tatu ya utoaji damu ikilenga shule za upili za eneo hilo. Mshirikishi wa huduma za damu katika kaunti ya Baringo Micah Chebon amesemi kampeni hiyo imeshawishiwa na changamoto kubwa iliyoko ya kupata hitaji la painti 500 zinazohitajika katika hospitali za mma na kibinafsi za eneo hilo. Akiongea katika shule ya upili ya wavulana ya Marigat, Chebon alisema kiasi kikubwa cha damu kinahitajika katika eneo hilo kukidhi mahitaji ya waathiriwa wa ukosefu wa lishe bora miongoni mwa wakazi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ещё видео!