Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, imepokea kesi ya kupinga uchaguzi wa Shirikisho wa Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na limemtaka Rais wake Wallace Karia, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Bodi ya Wadhamini ya Shirikisho hilo kufika mahakamani hapo kujibu hoja za kwanini uchaguzi wa TFF usisimaishwe, kesho Ijumaa saa 3 asubuhi.
Ещё видео!