Taasisi ya Utafiti wa Mifugo nchini (TALIRI) hujishughulisha na utafiti wa mambo mbalimbali yanayohusu mifugo kwa ujumla wake ikiwa ni pamoja na malisho na aina mbalimbali za mbegu za mitamba bora ya mifugo... Fuatilia kipindi hiki ili uweze kufahamu historia na mchango wa taasisi hii kwenye shughuli za ufugaji nchini.
Ещё видео!