Leo May 3 2017 makao makuu ya timu ya Simba SC Kariakoo Dar es Salaam, Rais wa timu hiyo Evans Aveva ameongea na waandishi wa habari kuhusu kamati ya haki na hadhi za wachezaji kuipokonya Simba point 3 ilizokuwa imepewa na bodi ya Ligi kutoka kwa Kagera Sugar kwa kumchezesha mchezaji Mohamed Fakhi aliyekuwa anadaiwa kuwa na kadi 3 za njano.
![](https://i.ytimg.com/vi/hQ5jx8q7df4/maxresdefault.jpg)