Wadau kutoka sekta mbalimbali za uchumi wameendelea kutoa maoni yao kuhusu hazina ya hasla unaolengwa kuzinduliwa mwisho wa mwezi huu. Hazina hii ikiandaa mikutano kaunti za Kisii, Mombasa na Nairobi. Baadhi ya mapendekezo ya wakazi wa kaunti hizo yakiwa pamoja na kuondolewa kwa riba kwa wakopeshaji wadogo mbali na muda zaidi kabla ya kuanza kwa malipo.
Ещё видео!