Watoto wanne wa familia moja wamefariki dunia kwa kuteketea kwa mato katika mtaa wa Nyerere uliopo mji mdogo wa Kibaigwa wilayani Kongwa baada ya taa ya kibatari iliyowashwa kwenye chumba walichokuwa wamelala kulipuka kwa kile kinachodaiwa mafuta ya taa yaliyokuwa wakitumika kuchanganywa na Petroli kutokana na uhaba wa nishati hiyo katika eneo hilo.
Ещё видео!