Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Lindi, Julai 5,2023 imemuhukumu kuchapwa viboko 4 katika makalio na kuwa chini ya uangalizi wa ustawi wa Jamii kwa muda wa miezi 12, Mtoto Bakari Malando mwenye umri wa miaka 17, mkazi wa kijiji cha Kikomolela wilaya ya Lindi, kwa kosa la kumbaka mtoto mwenzake mwenye umri wa miaka 17.
![](https://i.ytimg.com/vi/hcqEiuSkZrs/maxresdefault.jpg)