“…siku nyingine nikipita..utasikia tu ninaingia hapa..” - Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipomtembelea Miriam Shemndolwa ambaye ni mlemavu mkazi wa Mombo mkoani Tanga na kumpatia msaada wa shilingi milioni tano ili zimuwezesha kujenga nyumba ya kuishi yeye na bibi yake Eonica Hiza.
#AzamTVUpdates #AzamTVMax #UTVHabari
Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► [ Ссылка ]
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►TWITTER: [ Ссылка ]
►FACEBOOK: [ Ссылка ]
►WEBSITE: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/hmqot_Jrw-c/maxresdefault.jpg)