Mahakama ya rufani nchini Tanzania imefutilia mbali rufaa iliowasilishwa na upande wa serikali kupinga mahakama kuu kusikiliza hati ya dharura ya rufaa ya mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime mjini Ester Matiko. Je unatafakari gani kwa mwenendo wa kesi.
Ещё видео!