WANANCHI WAMVAA JAMAA ALIYETAKA KUITAPELI FAMILIA YA MTOTO ALIYEFUFUKA...
Wananchi wa Kijiji Cha ngemo, kata ya ngemo wilaya mbogwe mkoani geita wameiomba serikali kumshughulikia
kijana anayejulikana kwa jina la Charles Christopher , mkazi wa Kijiji Cha itoga kata bukombe wilaya bukombe , kwa kitendo Cha kujaribu kutaka kutapeli familia ya mama mzazi wa Leonard kwa kuwaambia wampe kiasi Cha shillingi million 3 Kama fidia zilizotumika kufukulia kaburi kwa madai kuwa ameagizwa na mkuu wa wilaya ya mbogwe
Wakizungumza wakazi hao mbele ya ofisi ya serikali ya Kijiji baaada ya kijana kukamatwa na uongozi wa Kijiji wamesema
wamesikitishwa kwa kitendo alichojaribu kukifanya kijana maana anaipelekea matatizo familia inayojaribu kurudisha furaha yao iliyofiwa na mtoto wao kwenye Hali ya kutatanisha miaka 4 iliyopita
Wakazi hao, wameiomba serikali kumshughulikia tapeli huyo ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia Kama hizo ambazo haziijengi jamii .
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: [ Ссылка ] || [ Ссылка ]
TWITTER: [ Ссылка ] || [ Ссылка ]
FACEBOOK: [ Ссылка ]
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ещё видео!