Makanisa mengi yamekuwa yakiwazuia wanawake kuhubiri makanisani,lakini kwenye mikutano ya nje wana waruhusu au wana wazuia wasizungumze kwenye makutano yote,hili limetokana na uelewa finyu wa maandiko,kuchanganya tafsiri ya neno kanisa na jengo la kanisa.Ikiwa wewe una kubaliana na tafsiri ya kuwazuia wanawake wasizungumze kanisani ujue umepotea,na ikiwa unahitaji tafsiri sahihi ya jambo hili,tafadhali fuatilia somo hili.
![](https://i.ytimg.com/vi/ig60fCr21vk/maxresdefault.jpg)