Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita Nicolous Kasendamila ameitaka Jumuiya ya Wanawake UWT Mkoani humo ijikite kupigania haki za wanawake zinazoporwa na watu wenye madaraka pamoja na kiuchumi wa fedha.
Kasendamila ametoa kauli hiyo kwenye kikao cha Baraza la UWT Mkoa wa Geita lilokwenda sambamba na ugawaji wa pikipiki kwa UWT Wilaya tano za Mkoa huo ambazo zimetolewa na Mbunge wa Viti Maalumu Rose Busiga.
#mwangazatvupdates
Ещё видео!