Kabla hujaanza kufanya jambo lolote katika biashara au kazi hakikisha kwanza watu wana taarifa .Na hii ni kanuni ya Mungu kabisa, kabla hajamleta Yesu unabii ulikuwa umeshaanza kutoka tangu Agano la Kale kuwa atakuja Yesu. Hata ukisoma kwenye kitabu cha Isaya pia alitabiri kuhusu ujio wa Yohana Mbatizaji kwamba ndiye atakayemuandalia njia Yesu na akatabiri kuhusu Yesu pia. Yohana naye anakuja na anaongea pia kuhusu Yesu kuwa anakuja na hastahili hata kufungua kamba za viatu vyake.
Kabla Yesu hajaja taarifa tayari ilikuwepo, wewe kabla hujaleta mzigo mpya dukani nani ana taarifa hiyo? kabla hujaanzisha biashara mpya nani ana taarifa? watu watajuaje kuhusu biashara unayoifanya/unayoanza kama hujawajulisha?
Kabla hujaanza kufanya hicho ulichoitiwa kukifanya hakikisha taarifa ipo.
#PastorSunbella#Taarifa
USIANZE BILA TAARIFA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Теги
sunbella kyando youtubesunbella kyando youtube livesunbella kyando kwa nini havitokei kwa wakatisunbella kyando ndotosunbella kyando mahusianosunbella kyando ulimwengu wa rohosunbella kyando mateso ya familiasunbella kyando ndoasunbella kyando roho ya umasikinisunbella kyando roho mtakatifusunbella kyando youtube 2022sunbella kyando hofusunbella kyando miguu iliyo hamishwasunbella kyando umuhimu wa kufunga