#ikulumawasiliano #ikuluzanzibar #ccm #samiasuluhuhassan #habarimaelezo #ktnnews #wizarayahabari #wizarayakilimo #wizarayaafya #wizarayaulinzi
MKURUGENZI wa makampuni wa Wasafi na msanii nyota wa Bongo flavor Nasibu Abdul 'Diamond Platinumz/ Simba' amemzawadia mlinda lango wa Yanga Djigui Diarra 'Screen Protector' USD 4200 ambayo ni takribani Tsh Milioni 10 kama pongezi ya namna alivyokoshwa na kiwango cha nyanda huyo katika mchezo wa fainali ya Shirikisho Afrika CAFCC
Fedha hizo zimetolewa leo Juni 05, 2023 wakati wa ziara ya viongozi wa klabu ya Yanga ikiongozwa na Rais wake Mhandisi Hersi Said sambamba na nyanda huyo ambaye ameshukuru kwa zawadi hiyo.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
HabariLeo: [ Ссылка ]
DailyNews: [ Ссылка ]
INSTAGRAM;
HabariLeo: [ Ссылка ]...
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: [ Ссылка ]
Ещё видео!