Ingawa Kiswahili kinazungumzwa sana katika nchi mbalimbali za Afrika Mashariki, lakini baadhi ya wakati, maneno yanayotumika katika eneo moja yanaweza kuwa na maana tofauti katika eneo lingine. Kwa mfano, neno mtindi, nchini Tanzania na katika pwani ya Kenya, lina maana ya maziwa lala, lakini neno hilo hilo, katika sehemu nyingine nchini Kenya, lina maana ya kileo au pombe ya kiasili.
Chanzo: Al Haajar TV Kenya
Fuatilia Habari zetu:
🌐 [ Ссылка ]
Tiktok
🟣 [ Ссылка ]
Facebook
🔵 [ Ссылка ]
Youtube
🔴 [ Ссылка ]
X
⚫ [ Ссылка ]
Instagram
🟣 [ Ссылка ]
Ещё видео!