Sasa Ni Wazi Kuwa Gavana Wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko Atalala Kizuizini Hii Leo Baada Ya Kutiwa Mbaroni Mapema Leo Huko Voi. Jaji Wa Mahakama Kuu John Onyiego Amedinda Kukubali Ombi La Sonko La Kutaka Kupewa Dahamana. Kukamatwa Kwake Na Kusafirishwa Kwa Ndege Hadi Hapa Nairobi Hakukosa Vituko. Sonko Ameonekana Kwenye Video Akipigana Mieleka Na Makechero Wa EACC Hali Kadhalika Maafisa Polisi Kabla Apigwe Pingu.Katika Makao Makuu Ya EACC Ambapo Alizuiliwa Kwa Saa Kadhaa , Polisi Wa Kitengo Cha GSU Walishirika Doria Na Hata Kuzuia Shughuli Za Namna Zote.
#Kenya #KTNNews #KTNPrime
SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Like us on Facebook: [ Ссылка ]
For more great content go to [ Ссылка ] and download our apps:
[ Ссылка ]
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
![](https://i.ytimg.com/vi/jqCxn8p1MNo/mqdefault.jpg)