Muhula wa kwanza wa mwaka 2019 umeng'oa nanga rasmi katika shule zote humu nchini baada ya likizo ndefu ya Disemba na mvutano mrefu baina ya chama cha walimu na mwajiri wao. Tulibaini kuwa shule nyingi za msingi zilianza masomo ipasavyo ila idadi ya waliokuwa wamerejea katika sekondari ilikuwa dogo kwa kile kilidhaniwa ni wasiwasi kwamba walimu wangekosa kufika shuleni.
Ещё видео!