Kupitia channel hii tutaangazia makundi yote yanayosababisha ushoga, tutayamulika kwa upana na marefu sana namna yanavyokwamisha vita dhidi ya ushoga, na tutaangalia huu ushoga kwa nini unalazimishwa kwa nguvu? Kwa nini? USHOGA ni LAANA na watu waliangamizwa katika miji ya sodoma na gomora, kwa nini watu hawa wanatulazimisha TULAANIKE, tuangamizwe? Akina nani wako nyuma ya ushoga kimataifa na kitaifa na lengo lao HASA ni nini? Ni taasisi zipi?
Pia, tutaangalia mbinu wanazotumia kueneza ushoga duniani, na wanalenga nini baada ya jamii yote kuwa mashoga na wasagaji? Lakini pia kupitia CHANNEL hii tutashauriana mbinu za kukabili tatizo hadi kuhakikisha linaisha.
![](https://i.ytimg.com/vi/jzP0J_Ynm3A/mqdefault.jpg)