Naibu rais Rigathi Gachagua anakabiliwa na dhoruba kali ya kisiasa katika ngome yake ya mlima kenya. Tukio la hivi punde ni wabunge 48 kutoka eneo hilo kuafikiana kumuasi kama kiongozi anayewakilisha sauti ya wakaazi wa mlima kenya. Na sasa wanampigia debe waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki kama kiongozi mkuu wa eneo hilo
Ещё видео!