15.02.2024 #dwkiswahili #HabarizaAfrika#DWSwahili
DW Kiswahili Habari za Afrika | Februari 15 | Mchana | Swahili Habari leo |
- Uganda yasema inafanya mazungumzo ya kusafirisha mafuta yake kupitia Tanzania.
- Na Afrika Kusini yasema askari wake wawili wameuawa katika shambulizi la kombora Kongo.
#dwkiswahili #HabarizaAfrika #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo Ukitaka kupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.
![](https://i.ytimg.com/vi/kEUXbmnElOE/maxresdefault.jpg)