Umoja wa Wazazi Tanzania Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti Wake, Ndg. Fadhil Maganya (MCC) inatoa Salamu za Pole kufuatia Kifo cha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mzee Alhaj Hassan Wakasuvi, Kilichotokea Tarehe 22/02/2024 Mkoani Tabora. #ccmkazini #kaziiendelee #vitendovinasauti
![](https://i.ytimg.com/vi/kQp8GTlyZVE/mqdefault.jpg)