#Zaburi #bibliatakatifu #biblia #Mungu
Zaburi ~ Psalms ~ Mlango wa 150
Haleluya. Msifuni Mungu katika patakatifu pake; Msifuni katika anga la uweza wake.
2 Msifuni kwa matendo yake makuu; Msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 Msifuni kwa mvumo wa baragumu; Msifuni kwa kinanda na kinubi;
4 Msifuni kwa matari na kucheza; Msifuni kwa zeze na filimbi;
5 Msifuni kwa matoazi yaliayo; Msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana. Haleluya.
Zaburi 150 - Zaburi ya kumsifu Mungu
Теги
Zaburi ~ Psalms ~ Mlango wa 150150ZaburiTanzaniaugandaKiswahilihekimakenyaruttosamiaswahiliMunguYesuMfalmesulemanisulasuramlangoayanenoagano la kalebibliapsalmsshairinyimbonina sirininayo sirikusifukuabuduwokovumsamahakumshukurumawaidhatenzimaishahabariisraeliwafuasikanisakikristomtakatifuibadazuchusimbayangamamacupbintimweusidiamond platnumzpartmariooalikibaamenpaul clementtrailerjawanaquaman