#ikulumawasiliano #ikuluzanzibar #ccm #samiasuluhuhassan #habarimaelezo #ktnnews #wizarayahabari #wizarayakilimo#tanzania#JKT
Na Benedict Msungu-Dodoma
UJENZI Wa Kiwanja Cha Ndege Cha Kimataifa cha Msalato kinachojengwa Jijini Dodoma kimefikia Asilimia 56.9 Package 1-Miundombinu na Asilimia 22.56 package 2 Majengo
Taarifa hiyo imetolewa Bungeni Jijini Dodoma na Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa wakati akiwasilisha Makadirio ya mapato na Matumizi kwa mwaka wa Fedha 2024/2025
Amesema Viwanja Vingine ambavyo vipo katika hatua mbalimbali za ujenzi ni pamoja na uwanja wa Ndege wa Musoma (Asilimia 55); Iringa (Asilimia 93); Kigoma (Awamu ya III Asilimia 3.7);Sumbawanga (Asilimia 10); Shinyanga (Asilimia 16); na Tabora (Awamu III Asilimia 45).
Aidha Amebainisha kuwa taratibu za manunuzi zinaendelea kwa ajili ya ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Lake Manyara, Iringa (Awamu ya II) na Kiwanja cha Ndege cha Tanga.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
HabariLeo: [ Ссылка ]
DailyNews: [ Ссылка ]
INSTAGRAM;
HabariLeo: [ Ссылка ]...
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: [ Ссылка ]
UWANJA WA NDEGE WA MSALATO WAFIKIA ASILIMIA 56.9
Теги
ccmayo tvmillard ayoayotvmtanzaniadigitalmwananchidigitalharmonizetundulisuwasafi tvsimba tvazam tvhellen showstbc onlinehaji manarayanga scmanchester unitedliverpoolzuchuclouds tvkassim majaliwawaziri mkuuikulu mawasilianoflaviana matataMaalim SeifCoronaJPMDK Magufulispika NdugaiMama SamiaTulia AksonBungeni DodomaDiamond PlatnumzHarmonizeKTNTundulisuZitto KabweAli KibaZuchuCCMChademaSamiaSuluhuUchaguzi