"Nyumbani tukipika nyama au samaki mimi siruhusiwi kuchukuwa mboga hata kidogo na nikila kuna jicho mama akinitazama lazima niache kula hata kama sikushiba hiyo ndo sheria ya nyumbani kwetu nilikuwa nimezoea pia" Ni maisha ambayo Binti Sia alikuwa anapitia akamaua kutoroka na kwenda mjini lakini huko ndipo hatima ya maisha yake ilipokuwa.
Ещё видео!