Utamuonea huruma huyu dada wa kuitwa Angel mzaliwa wa keko magulumbasi kwa yaliyomkuta kwenye ndoa yake.. kwanza katelekezwa na mumewe toka ana ujauzito wa miezi mitatu.. anakuja kumrudia miezi sita baada ya kujifungua.. wakiwa wamerudiana mume anadai mke katanuka baada ya kujifungua hamridhishi anamletea wanawake mpaka ndani.. akiongea vipigo kama vyote.. Sikiliza mkasa huu..
![](https://i.ytimg.com/vi/l3b3-qRj-iM/maxresdefault.jpg)