Je umewahi kujiuliza nini kinasababisha misuguano kwenye mahusiano? Mojawapo ya sababu ni tofauti baina ya mwanaume na mwanamke na jinsi watu hawa wawili wasivyo elewa namna ya kuchukuliana nazo. Fuatilia video hii ili ufahamu namna ya kuepusha kelele na magomvi ili kuleta furaha na Amani kwenye mahusiano na ndoa yako.
#DrChrsiMauki#Mwanamke#Mwanaume
![](https://i.ytimg.com/vi/lAYg7HC8lkU/maxresdefault.jpg)